Mwenendo wa Bei ya Mchele pamoja na Mahindi katika Masoko ya Dar es salaam
Quote from mgayo group on October 2, 2024, 8:13 amKwa nini katika masoko mengi ya chakula katika jiji la DSM Bei ya mahindi na Mchele inazidi kuwa Juu. Nini maoni yako
Kwa nini katika masoko mengi ya chakula katika jiji la DSM Bei ya mahindi na Mchele inazidi kuwa Juu. Nini maoni yako
Quote from The luktons Group on October 3, 2024, 9:21 amGharama za ununuzi wa mazao unaweza kuwa chini shida inakuja kwenye gharama ya usafiri na kodi za mazao zipo juu mno
Gharama za ununuzi wa mazao unaweza kuwa chini shida inakuja kwenye gharama ya usafiri na kodi za mazao zipo juu mno
Quote from RAK on October 4, 2024, 8:14 amBEI KUWA JUU INA SABABISHWA NA MAMBO MENGI, IKIWA PIA MZUNGUKO WA SOKO, (UHITAJIKAJI WA MAZAO HAYO)
Mfano unaweza kutumia gharama kubwa kufikisha mazao yako sokoni, na ukauza kwa bei ndogo kuliko gharama ulizo tumia sababu ni bei iliyoko sokoni.
hatuna mfumo rasmi wa kupanga bei za mazao,
biashara ya mazao ni biashara ya kubashiri ukikuta bei iko juu utapata, ukikuta bei chini itakukata pia.
BEI KUWA JUU INA SABABISHWA NA MAMBO MENGI, IKIWA PIA MZUNGUKO WA SOKO, (UHITAJIKAJI WA MAZAO HAYO)
Mfano unaweza kutumia gharama kubwa kufikisha mazao yako sokoni, na ukauza kwa bei ndogo kuliko gharama ulizo tumia sababu ni bei iliyoko sokoni.
hatuna mfumo rasmi wa kupanga bei za mazao,
biashara ya mazao ni biashara ya kubashiri ukikuta bei iko juu utapata, ukikuta bei chini itakukata pia.
Quote from RAK on October 4, 2024, 8:20 amQuote from The luktons Group on October 3, 2024, 9:21 amGharama za ununuzi wa mazao unaweza kuwa chini shida inakuja kwenye gharama ya usafiri na kodi za mazao zipo juu mno
sidhani kama usafiri na kodi (ushuru) vinaweza kuwa sababu kubwa kwa bei kuwa juu kwa Dar es salaam,
Quote from The luktons Group on October 3, 2024, 9:21 amGharama za ununuzi wa mazao unaweza kuwa chini shida inakuja kwenye gharama ya usafiri na kodi za mazao zipo juu mno
sidhani kama usafiri na kodi (ushuru) vinaweza kuwa sababu kubwa kwa bei kuwa juu kwa Dar es salaam,